forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
538 B
Markdown
25 lines
538 B
Markdown
# Kisha yakatokea mabishano katikati yao
|
|
|
|
"Kisha mitume wakaanza kubishana wao kwa wao"
|
|
|
|
# ni nani aliye mkubwa
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "watu wangefikiri ni wa muhimu sana"
|
|
|
|
# Akawaambia
|
|
|
|
"Yesu akawaambia mitume"
|
|
|
|
# wana ubwana juu yao
|
|
|
|
"wanatawala kwa ukatili juu yao" au "wanapenda kutumia nguvu juu yao"
|
|
|
|
# wanaitwa
|
|
|
|
Watu inawezekana hawakuwafikiria wale watawala kama watawala wakuheshimiwa. Tafsiri mbadala: "walipenda kuitwa" au "walijiita wenyewe."
|
|
|
|
# waheshimiwa watawala
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "wafadhili" au "viongozi wanaowasaidia watu"
|
|
|