forked from WA-Catalog/sw_tn
538 B
538 B
Kisha yakatokea mabishano katikati yao
"Kisha mitume wakaanza kubishana wao kwa wao"
ni nani aliye mkubwa
Tafsiri mbadala: "watu wangefikiri ni wa muhimu sana"
Akawaambia
"Yesu akawaambia mitume"
wana ubwana juu yao
"wanatawala kwa ukatili juu yao" au "wanapenda kutumia nguvu juu yao"
wanaitwa
Watu inawezekana hawakuwafikiria wale watawala kama watawala wakuheshimiwa. Tafsiri mbadala: "walipenda kuitwa" au "walijiita wenyewe."
waheshimiwa watawala
Tafsiri mbadala: "wafadhili" au "viongozi wanaowasaidia watu"