forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
827 B
Markdown
25 lines
827 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kupitia Ezekieli kuhusu mambo mabaya ambayo watu wa Yerusalemu waliyoyafanya.
|
|
|
|
# ninyi ... wao
|
|
|
|
Hivi viwakilishi majina vinarejea kwa Yerusalemu (watu wa Yerusalemu).
|
|
|
|
# Uchi wa baba umefunuliwa
|
|
|
|
Huyu ni mke wa baba. Ni uchi ambao unaomaanisha kwa yeye kuona.
|
|
|
|
# Wamemtukana ... waliofanya machukizo pamoja ... kuwafanya uchafu wa aibu kwa mke wa mwanao mwenyewe
|
|
|
|
uchafu wa aibu** - Hizi ni njia zote za kueleza kwamba wanaume wamelala na wanwake ambao hawakutakiwa na jinsi matendo yao ya dhambi yalivyo.
|
|
|
|
# vutia
|
|
|
|
Hili neno linarejea kwenye pesa zilizolipwa na mtu kutumia pesa iliyoazimwa. Ingawa baadhi ya baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsiri "kuvutia" katika kifungu hiki kama "kuvutia sana."
|
|
|
|
# umenisahau
|
|
|
|
kukataa kumtii Yahwe ni kama kusahau kwamba anaishi.
|
|
|