forked from WA-Catalog/sw_tn
436 B
436 B
Sentensi Unganishi
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.
vilivyohesabiwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Ithamari
Hili ni jina la mwanaume.
Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huru
"Bezaleli" na "Uri" ni majina ya wanaume.
Yahweh alikuwa amemwamuru Musa
"kila kitu Yahweh alicho kuwa amemuamuru Musa kufanya"
Oholiabu mwana wa Ahisamaki
"Oholiabu" na "Ahisamaki" ni majina ya wanaume.