# Sentensi Unganishi Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa. # vilivyohesabiwa Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. # Ithamari Hili ni jina la mwanaume. # Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huru "Bezaleli" na "Uri" ni majina ya wanaume. # Yahweh alikuwa amemwamuru Musa "kila kitu Yahweh alicho kuwa amemuamuru Musa kufanya" # Oholiabu mwana wa Ahisamaki "Oholiabu" na "Ahisamaki" ni majina ya wanaume.