forked from WA-Catalog/sw_tn
551 B
551 B
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuzungmza na Musa.
Oholiabu ... Ahisamaki
Haya ni majina ya wanaume.
Nami nimetia hekima katika mioyo ya wote wenye moyo wa hekima
Mungu anazungumza kufanya watu kuweza kutengeneza vitu kana kwamba uwezo alikuwa anaweka kwenye mioyo yao.
hema la kukutania
Hili ni jina lingine la maskani.
sanduku la ushuhuda
Sanduku ni chombo kinacho hifadhi amri.
madhabahu ya kufukizia uvumba
"madhabahu ya kuteketeza uvumba"
madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa
"madhabahu ambayo sadaka ili teketezwa"