forked from WA-Catalog/sw_tn
335 B
335 B
nimeona ... ubaya upo ... ina ubaya
Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na inasisitiza jinsi gani tabia ya uovu ni kawaida.
ubaya upo
"kawaida watu wanapata ubaya"
Nikasema moyoni mwangu
"Nikajiambia"
kila jambo na kila tendo
Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na zinaashiria kila tendo wafanyao binadamu.