forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
335 B
Markdown
17 lines
335 B
Markdown
|
# nimeona ... ubaya upo ... ina ubaya
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na inasisitiza jinsi gani tabia ya uovu ni kawaida.
|
||
|
|
||
|
# ubaya upo
|
||
|
|
||
|
"kawaida watu wanapata ubaya"
|
||
|
|
||
|
# Nikasema moyoni mwangu
|
||
|
|
||
|
"Nikajiambia"
|
||
|
|
||
|
# kila jambo na kila tendo
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na zinaashiria kila tendo wafanyao binadamu.
|
||
|
|