forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
483 B
Markdown
21 lines
483 B
Markdown
# ndani ya malango
|
|
|
|
Hapa "malango" uwakilisha mji mzima.
|
|
|
|
# najisi... watu
|
|
|
|
Mtu ambaye hakubaliki kwa makusudi ya Mungu husemwa kama mtu najisi kimwili.
|
|
|
|
# watu wasafi
|
|
|
|
Mtu ambaye anakubalika kwa makusudi ya Mungu husemwa kama mtu msafi kimwili.
|
|
|
|
# paa na kulungu
|
|
|
|
Hawa ni wanyama wa mwitu wakiwa na miguu mirefu na mwembamba ambao hukimbia kwa haraka.
|
|
|
|
# haupaswi kula damu yake
|
|
|
|
"haupaswi kula damu yake." Yahwe hakuwaruhusu waisraeli kula damu kwa sababu damu iliwakilisha uhai.
|
|
|