forked from WA-Catalog/sw_tn
483 B
483 B
ndani ya malango
Hapa "malango" uwakilisha mji mzima.
najisi... watu
Mtu ambaye hakubaliki kwa makusudi ya Mungu husemwa kama mtu najisi kimwili.
watu wasafi
Mtu ambaye anakubalika kwa makusudi ya Mungu husemwa kama mtu msafi kimwili.
paa na kulungu
Hawa ni wanyama wa mwitu wakiwa na miguu mirefu na mwembamba ambao hukimbia kwa haraka.
haupaswi kula damu yake
"haupaswi kula damu yake." Yahwe hakuwaruhusu waisraeli kula damu kwa sababu damu iliwakilisha uhai.