forked from WA-Catalog/sw_tn
651 B
651 B
mabwana zake
wale wanao mmiliki yule msichana mtumwa
tumaini la faida
Hii inamaanisha ule uwezo wa kubashiri aliokuwa nao yule msichana na watu kumlipa kwa kuwabashiria.
kuwaburuza wao
Mabwana waliwaburuza "Paulo na Sila" lakini siyo kundi lote akiwemo Luka na Timotheo.
mbele ya wenye mamlaka
'Katika uwepo wa mamlaka' au 'kuhukumiwa na mamlaka
Walipowafikisha kwa mahakimu, walisema,
"Baada ya mabwana kuwaleta Paulo na Sila mbele ya mahakimu, mabwana wale wakasema"
Wanafundisha
"Paulo na Sila wanafundisha"
siyo ya kisheria
mabwana wanajumuisha mambo ya kitawala katika madai yao kwani wao pia walikuwa raia wa Kirumi