forked from WA-Catalog/sw_tn
841 B
841 B
mkuu wa Uajemi
"mkuu" hurejelea roho ambayo inatawala na kulilinda taifa la watu. "mkuu wa roho ya uajemi"
Lakini nitakwambia
Hii ina maana kwamba Malaika atamwambia Danieli juu ya hili muda mfupi kabla hajaenda mbali.
kile kilichoandikwa katika Kitabu cha Ukweli
Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "kile Kitabu cha Ukweli kinayasema" au "kile ambacho mtu fulani alikiandika katika Kitabu cha Ukweli.
yeyote anayejionesha kuwa na nguvu
"yeye anayejihakikisha kuwa na nguvu"
isipokuwa Mikaeli mkuu wenu
Kirai hiki chaweza kuelezeka kama sentensi inayojitegemea. "Mikaeli mkuu wako ni yeye pekee ambaye huyatenda haya"
Mikaeli mkuu wenu
Neno "wenu" liko katika wingi. Linamrejelea Danieli na watu wengine waliosalia wa Israeli.
Mkuu
Angalia jinsi ulivyotafsiri "mkuu" inapomrejelea Mikaeli katika 10:12.