forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
841 B
Markdown
29 lines
841 B
Markdown
|
# mkuu wa Uajemi
|
||
|
|
||
|
"mkuu" hurejelea roho ambayo inatawala na kulilinda taifa la watu. "mkuu wa roho ya uajemi"
|
||
|
|
||
|
# Lakini nitakwambia
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana kwamba Malaika atamwambia Danieli juu ya hili muda mfupi kabla hajaenda mbali.
|
||
|
|
||
|
# kile kilichoandikwa katika Kitabu cha Ukweli
|
||
|
|
||
|
Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "kile Kitabu cha Ukweli kinayasema" au "kile ambacho mtu fulani alikiandika katika Kitabu cha Ukweli.
|
||
|
|
||
|
# yeyote anayejionesha kuwa na nguvu
|
||
|
|
||
|
"yeye anayejihakikisha kuwa na nguvu"
|
||
|
|
||
|
# isipokuwa Mikaeli mkuu wenu
|
||
|
|
||
|
Kirai hiki chaweza kuelezeka kama sentensi inayojitegemea. "Mikaeli mkuu wako ni yeye pekee ambaye huyatenda haya"
|
||
|
|
||
|
# Mikaeli mkuu wenu
|
||
|
|
||
|
Neno "wenu" liko katika wingi. Linamrejelea Danieli na watu wengine waliosalia wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Mkuu
|
||
|
|
||
|
Angalia jinsi ulivyotafsiri "mkuu" inapomrejelea Mikaeli katika 10:12.
|
||
|
|