Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Munsa yawapasayo watu kutenda.
Kuhani aliyepakwa mafuta ataleta damu
Inamaanisha kwamba huyo kuhani aliikinga damu kwenye bakuli ilipotiririka
mbele ya pazia.
Inamaanisha kwamba hili ni pazia mbele ya patakatifu pa patakatifu