forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
429 B
Markdown
13 lines
429 B
Markdown
# Lakini ninalo hili dhidi yako
|
|
|
|
"Lakini sikubali baadhi ya vitu ulivyofanya" au "Lakini nina hasira na wewe kwa sababu ya jambo ulilofanya".
|
|
|
|
# mwanamke Yezebeli
|
|
|
|
Yesu alimzungumzia mwanamke mmoja kanisani mwao kana kwamba alikua Malkia Yezebeli kwa sababu alifanye vitendo vya dhambi kama vile alivyofanya Malkia Yezebeli zamani kabla ya huo wakati.
|
|
|
|
# Nilimpa muda wa kutubu
|
|
|
|
"Nilimpa nafasi ya kutubu" au "nilisubiri atubu"
|
|
|