sw_tn_fork/rev/02/20.md

429 B

Lakini ninalo hili dhidi yako

"Lakini sikubali baadhi ya vitu ulivyofanya" au "Lakini nina hasira na wewe kwa sababu ya jambo ulilofanya".

mwanamke Yezebeli

Yesu alimzungumzia mwanamke mmoja kanisani mwao kana kwamba alikua Malkia Yezebeli kwa sababu alifanye vitendo vya dhambi kama vile alivyofanya Malkia Yezebeli zamani kabla ya huo wakati.

Nilimpa muda wa kutubu

"Nilimpa nafasi ya kutubu" au "nilisubiri atubu"