forked from WA-Catalog/sw_tn
9 lines
424 B
Markdown
9 lines
424 B
Markdown
# Unitunze kwa neno lako
|
|
|
|
"Nishikilie kwa neno lako." Hapa "neno" linawakilisha kile ambacho Mungu anawasiliana kwa watu. "Nipe nguvu kama ulivyosema utafanya" au "Niwezeshe kuwa na nguvu kama ulivyoahidi"
|
|
|
|
# na nisiaibike kwa tumaini langu
|
|
|
|
Hapa "tumaini langu" linawikilisha tumaini la mwandishi kwa Mugnu na ahadi zake. "Usinivunje matumaini." au "Usinisababishe niwe na aibu kwa kutokufanya kile ulichoahidi kufanya."
|
|
|