sw_tn_fork/psa/119/115.md

424 B

Unitunze kwa neno lako

"Nishikilie kwa neno lako." Hapa "neno" linawakilisha kile ambacho Mungu anawasiliana kwa watu. "Nipe nguvu kama ulivyosema utafanya" au "Niwezeshe kuwa na nguvu kama ulivyoahidi"

na nisiaibike kwa tumaini langu

Hapa "tumaini langu" linawikilisha tumaini la mwandishi kwa Mugnu na ahadi zake. "Usinivunje matumaini." au "Usinisababishe niwe na aibu kwa kutokufanya kile ulichoahidi kufanya."