sw_tn_fork/psa/080/014.md

29 lines
798 B
Markdown

# Taarifa ya Jumla:
Asafu anazungumza kwa niaba ya Israeli. Anaanza katika mstari wa 8 kuzungumzia jinsi Mungu alivyowaweka Israeli katika nchi yao kana kwamba Mungu alikuwa ni mtu anayesafisha ardhi ili kupanda mzabibu.
# Geuka
"Geuka kwetu" au "Njoo utusaidie tena"
# na ugundue
"na uangalie"
# mzabibu huu
Mwandishi anaendelea kufananisha taifa la Israeli na mzabibu.
# Huu ni mzizi ambao mono wako wa kuume ulipanda
Mkono wa kuume unawakilisha uwezo na nguvu ya Yahwe. "Huu ndio mzizi ambao wewe, Yahwe, ulipanda"
# kichipukizi
sehemu za mimea ambazo zinaanza kutokeza kutoka ardhini
# chini; wanaangamia kwa sababu ya lawama yako
Maana zinazowezekana ni 1) chini; watu wako wanaangamia kwa sababu ya lawama yako." au 2) "chini. Na adui zako waangamie kwa sababu ya lawama yako!"