forked from WA-Catalog/sw_tn
431 B
431 B
umenifundisha
"umenifundisha vitu vingi"
Mungu, usiniache
"Mungu, tafadhali usiniache"
nimekuwa nikitangaza nguvu yako
"nimekuwa nikiwaambia watu jinsi ulivyo na nguvu"
kwa kizazi kifuatacho
"kwa wale ambao ni watoto leo"
uwezo wako kwa kila mtu atakeyekuja
"na kama ninavyotangaza uwezo wako kwa kila mtu atakayekuja"
kila mtu atakeyekuja
Hii ni kukuza kwa neno. "ili watu wengi niwezavyo kuwaambia wajue"