forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
408 B
Markdown
17 lines
408 B
Markdown
# mnadharau jina langu
|
|
|
|
"mmenifanyia kama mnayenichukia"
|
|
|
|
# Lakini mwasema, 'ni kwa namna gani tumekudharau?
|
|
|
|
"ninyi makuhani mnasema, 'je tumekutendeaje kama tuna kuchukia? Tafsiri zingine zinasema: Mnanidharau lakini mwasema hapana!"
|
|
|
|
# Mkate ulio najisi.
|
|
|
|
chakula ambacho hakikubaliki kwa dhabihu
|
|
|
|
# Na mnasema, 'Tunakunajisi kwa namna gani?'
|
|
|
|
Tafsiri nyingine: Mnadhani mmekubalika kwangu lakini sivyo.
|
|
|