forked from WA-Catalog/sw_tn
408 B
408 B
mnadharau jina langu
"mmenifanyia kama mnayenichukia"
Lakini mwasema, 'ni kwa namna gani tumekudharau?
"ninyi makuhani mnasema, 'je tumekutendeaje kama tuna kuchukia? Tafsiri zingine zinasema: Mnanidharau lakini mwasema hapana!"
Mkate ulio najisi.
chakula ambacho hakikubaliki kwa dhabihu
Na mnasema, 'Tunakunajisi kwa namna gani?'
Tafsiri nyingine: Mnadhani mmekubalika kwangu lakini sivyo.