forked from WA-Catalog/sw_tn
892 B
892 B
Alipokuwa akisema vitu hivi
"Wakati Petro alikuwa akisema viotu hivi"
waliogopa
Hawa wanafunzi wazima hawakuogopa mawingu. Msitari unaashiria woga usio wa kawaida ulitokea juu yao kupitia mawing. AT: "walishitushwa"
walivyokuwa wamezungukwa na wingu
AT: "kama mawingu yalivyo wazunguka"
Sauti ikatoka winguni, ikisema
AT: "Mungu akaongea nao kupitia mawinguni akisema"
mwanangu uliyechaguliwa
Neno "kuchaguliwa" linatoa taarifa kuhusu mtoto wa Mungu. Haisemi kuwa Mungu alikuwa na mtoto zaidi ya mmoja. AT: "mwanangu niliuyekuchagua" (UDB) au "mwanangu,uliyechaguliwa"
walikaa kimya, na katika siku hizo... vitu walivyoona
Hii ni taarifa inayosema kilichotokea baada ya hadithi kama matokeo ya hadithi yenyewe.
siku hizo
Hizi zinaweza kuwakirisha siku ambazo mpaka Yesu anachukuliwa mawinguni baada ya ufufuo au yaweza kuwa baada ya siku ambazo Yesu alitoa kauli.