forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
892 B
Markdown
29 lines
892 B
Markdown
|
# Alipokuwa akisema vitu hivi
|
||
|
|
||
|
"Wakati Petro alikuwa akisema viotu hivi"
|
||
|
|
||
|
# waliogopa
|
||
|
|
||
|
Hawa wanafunzi wazima hawakuogopa mawingu. Msitari unaashiria woga usio wa kawaida ulitokea juu yao kupitia mawing. AT: "walishitushwa"
|
||
|
|
||
|
# walivyokuwa wamezungukwa na wingu
|
||
|
|
||
|
AT: "kama mawingu yalivyo wazunguka"
|
||
|
|
||
|
# Sauti ikatoka winguni, ikisema
|
||
|
|
||
|
AT: "Mungu akaongea nao kupitia mawinguni akisema"
|
||
|
|
||
|
# mwanangu uliyechaguliwa
|
||
|
|
||
|
Neno "kuchaguliwa" linatoa taarifa kuhusu mtoto wa Mungu. Haisemi kuwa Mungu alikuwa na mtoto zaidi ya mmoja. AT: "mwanangu niliuyekuchagua" (UDB) au "mwanangu,uliyechaguliwa"
|
||
|
|
||
|
# walikaa kimya, na katika siku hizo... vitu walivyoona
|
||
|
|
||
|
Hii ni taarifa inayosema kilichotokea baada ya hadithi kama matokeo ya hadithi yenyewe.
|
||
|
|
||
|
# siku hizo
|
||
|
|
||
|
Hizi zinaweza kuwakirisha siku ambazo mpaka Yesu anachukuliwa mawinguni baada ya ufufuo au yaweza kuwa baada ya siku ambazo Yesu alitoa kauli.
|
||
|
|