forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
370 B
Markdown
13 lines
370 B
Markdown
# kama jeshi kwenye ufa mpana katika ukuta wa mji
|
|
|
|
Ayubu analinganisha hali yake na mji ambao upo katika mashambulizi wakati ukuta wake wa ulinzi unaufa
|
|
|
|
# heshima yangu imefukuziwa mbali kama kwa upepo
|
|
|
|
"upepo umepeperusha heshima yangu"
|
|
|
|
# mafanikio yangu yanatoweka kama wingu
|
|
|
|
Mali ya Ayubu imepotea kama wingi ambalo huonekana ghafula na hutoweka kutoka angani.
|
|
|