forked from WA-Catalog/sw_tn
490 B
490 B
Acha fadhila ionyeshwe kwa mtu muovu, lakini hatajifunza haki
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Hata kama Yahwe ni mwema kwa watu waovu, bado hawajifunzi kufanya kile kilicho sahihi"
mtu muovu
Hii ina maana watu waovu kwa ujumla.
katika nchi ya wenye haki
Hapa "nchi" inawakilisha watu ambao wanaishi kule. "Katika nchi ambapo watu hufanya kile kilicho sahihi"
haoni ukuu wa enzi wa Yahwe
Hapa "kuona" inawakilisha kutambua kitu. "hatambui ya kwamba Yahwe ni mkuu"