sw_tn_fork/isa/26/10.md

490 B

Acha fadhila ionyeshwe kwa mtu muovu, lakini hatajifunza haki

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Hata kama Yahwe ni mwema kwa watu waovu, bado hawajifunzi kufanya kile kilicho sahihi"

mtu muovu

Hii ina maana watu waovu kwa ujumla.

katika nchi ya wenye haki

Hapa "nchi" inawakilisha watu ambao wanaishi kule. "Katika nchi ambapo watu hufanya kile kilicho sahihi"

haoni ukuu wa enzi wa Yahwe

Hapa "kuona" inawakilisha kutambua kitu. "hatambui ya kwamba Yahwe ni mkuu"