forked from WA-Catalog/sw_tn
673 B
673 B
Taarifa ya jumla:
Bwana anazungumza.
Nitawaponya kugeuka kwao
Kuwafanya watu wasigeuke toka kwa Mungu kunazungumwa kama kitendo cha kuponya.
kugeuka kwao
Watu kushindwa kumtii Mungu kunazungumzwa kama kitendo cha kugeuka toka kwake.
Nitakuwa kama umande kwa Israeli; atachanua kama maua
Bwana anazungumza akijifananisha na umande unaohitajika ili kuupa rutuba mmea na Israeli inafananishwa na ua litakalochanua.
kuchukua mizizi kama mwerezi nchini Lebanoni
Taswira ya Israeli kama mmea inaendelea lakini hapa inafananishwa na mierezi wa Lebanoni.
Matawi yake yataenea ... kama mierezi ya Lebanoni
Sehwmu hii inaendelea kuzungumzia kitu hicho hicho.