forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
601 B
Markdown
33 lines
601 B
Markdown
# Mmoja ambaye alitoroka alikuja
|
|
|
|
"Mwanamume alitoroka vitani na kuja"
|
|
|
|
# Alikuwa anaishi
|
|
|
|
"Abramu alikuwa anaishi" Hii inatambulisha taarifa ya nyuma.
|
|
|
|
# walikuwa washirika wa Abram
|
|
|
|
"walikuwa washirika wa mkataba na Abramu" au "alikuwa na makubaliano ya amani na Abramu"
|
|
|
|
# ndugu yake
|
|
|
|
Hii inahusu mpwa wa Abramu Lutu
|
|
|
|
# wanaume waliofunzwa
|
|
|
|
"wanamume waliofunzwa kupigana"
|
|
|
|
# wanaume waliozaliwa nyumbani mwake
|
|
|
|
"wanamume waliozaliwa nyumbani mwa Abramu". Walikuwa watoto wa watumishi wa Abramu.
|
|
|
|
# akawafukuza
|
|
|
|
"akawafukuza"
|
|
|
|
# Dani
|
|
|
|
Huu ni mji wa kaskazini wa Kanaani, mbali ya kambi ya Abramu.
|
|
|