forked from WA-Catalog/sw_tn
601 B
601 B
Mmoja ambaye alitoroka alikuja
"Mwanamume alitoroka vitani na kuja"
Alikuwa anaishi
"Abramu alikuwa anaishi" Hii inatambulisha taarifa ya nyuma.
walikuwa washirika wa Abram
"walikuwa washirika wa mkataba na Abramu" au "alikuwa na makubaliano ya amani na Abramu"
ndugu yake
Hii inahusu mpwa wa Abramu Lutu
wanaume waliofunzwa
"wanamume waliofunzwa kupigana"
wanaume waliozaliwa nyumbani mwake
"wanamume waliozaliwa nyumbani mwa Abramu". Walikuwa watoto wa watumishi wa Abramu.
akawafukuza
"akawafukuza"
Dani
Huu ni mji wa kaskazini wa Kanaani, mbali ya kambi ya Abramu.