forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
341 B
Markdown
17 lines
341 B
Markdown
# madhabahu ya udongo
|
|
|
|
madhabahu iliyo tengenezwa kwa vitu vya ardhini, kama mawe, mchanga, au udogo
|
|
|
|
# ntakapotaka jina langu liheshimiwe
|
|
|
|
Hapa "jina" linasimama kwa niaba ya utu wa Mungu.
|
|
|
|
# msije juu ya madhabahu yangu kwa hatua zenu
|
|
|
|
"Msitengeneze madhabahu yenye ngazi"
|
|
|
|
# msioneshe sehemu zenu za siri
|
|
|
|
"kuonyesha mwili wenu wa uchi"
|
|
|