forked from WA-Catalog/sw_tn
341 B
341 B
madhabahu ya udongo
madhabahu iliyo tengenezwa kwa vitu vya ardhini, kama mawe, mchanga, au udogo
ntakapotaka jina langu liheshimiwe
Hapa "jina" linasimama kwa niaba ya utu wa Mungu.
msije juu ya madhabahu yangu kwa hatua zenu
"Msitengeneze madhabahu yenye ngazi"
msioneshe sehemu zenu za siri
"kuonyesha mwili wenu wa uchi"