forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
342 B
Markdown
17 lines
342 B
Markdown
# kila kitu kinachofanyika
|
|
|
|
"kila kitu amabacho watu hufanya"
|
|
|
|
# mwisho mmoja
|
|
|
|
hapa neno "mwisho" linamaanisha kifo.
|
|
|
|
# Mioyo ya wanadamu imejaa uovu, na wazimu uko katika mioyo yao
|
|
|
|
Hapa neno "mioyo" linamaanisha mawazo na hisia. "Wanadamu wamejaa uovu, na fikra zao ni wazimu"
|
|
|
|
# wanaenda kwa wafu
|
|
|
|
"wanaenda sehemu ya wafu" au "wanakufa"
|
|
|