forked from WA-Catalog/sw_tn
342 B
342 B
kila kitu kinachofanyika
"kila kitu amabacho watu hufanya"
mwisho mmoja
hapa neno "mwisho" linamaanisha kifo.
Mioyo ya wanadamu imejaa uovu, na wazimu uko katika mioyo yao
Hapa neno "mioyo" linamaanisha mawazo na hisia. "Wanadamu wamejaa uovu, na fikra zao ni wazimu"
wanaenda kwa wafu
"wanaenda sehemu ya wafu" au "wanakufa"