forked from WA-Catalog/sw_tn
440 B
440 B
usipokee mashitaka
Paulo anaongea juu ya mashitaka kama vitu ambavyo vinaweza kushikika au kupokelewa na watu
mbili au tatu
"angalau mbili" au "mbili au zaidi"
wenye dhambi
hii inahusu mtu yeyote kufanya jambo lolote ambalo halimtii au yasiyompendeza Mungu, hata mambo ambayo watu wengine hawayajui.
mbele ya watu wote
"ambapo kila mtu anaweza kuona"
ili wengine wawe na hofu
"ili wengine waweze kuogopa kufanya dhambi"