Baasha aliwaua watu wote wa familia ya Yeroboamu. Hakumwaacha hata mmoja wa uzao wa Yeroboamu awe hai
Sentensi hizi mbili zinamaanisha jambo moja vimetumika kwa ajili ya kutia msisitizo.
ukoo wake wote
Neno "wake" linamaanisha Yeroboamu
Ahiyo Mshilo
Ahiya alikuwa anatoka Shilo