forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
290 B
Markdown
13 lines
290 B
Markdown
|
# Baasha aliwaua watu wote wa familia ya Yeroboamu. Hakumwaacha hata mmoja wa uzao wa Yeroboamu awe hai
|
||
|
|
||
|
Sentensi hizi mbili zinamaanisha jambo moja vimetumika kwa ajili ya kutia msisitizo.
|
||
|
|
||
|
# ukoo wake wote
|
||
|
|
||
|
Neno "wake" linamaanisha Yeroboamu
|
||
|
|
||
|
# Ahiyo Mshilo
|
||
|
|
||
|
Ahiya alikuwa anatoka Shilo
|
||
|
|