forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
561 B
Markdown
25 lines
561 B
Markdown
# kila mmoja hupewa
|
|
|
|
Hapa ikielezwa kwa muundo tendaji:- Mungu ndiye anayefanya tendo la upaji au utoaji. kwa maneno mengine "Mungu humpa kila mmoja "
|
|
|
|
# mtu mmoja amepewa na Roho neno
|
|
|
|
ikielezwa kwa muundo tendaji:- "Kwa njia ya Roho Mungu humpatia kila mmoja neno"
|
|
|
|
# kwa Roho
|
|
|
|
Mungu hutoa karama kupitia kazi ya Roho
|
|
|
|
# hekima...maarifa
|
|
|
|
Tofauti kati ya haya maneno mawili siyo muhimu, cha muhimu ni kwamba maarifa na hekima hutoka kwaMungu kwa njia ya Roho yule yule.
|
|
|
|
# neno la hekima
|
|
|
|
" maneno ya busara"
|
|
|
|
# neno la maarifa
|
|
|
|
" Maneno yanayoonesha ujuzi"
|
|
|