forked from WA-Catalog/sw_tn
561 B
561 B
kila mmoja hupewa
Hapa ikielezwa kwa muundo tendaji:- Mungu ndiye anayefanya tendo la upaji au utoaji. kwa maneno mengine "Mungu humpa kila mmoja "
mtu mmoja amepewa na Roho neno
ikielezwa kwa muundo tendaji:- "Kwa njia ya Roho Mungu humpatia kila mmoja neno"
kwa Roho
Mungu hutoa karama kupitia kazi ya Roho
hekima...maarifa
Tofauti kati ya haya maneno mawili siyo muhimu, cha muhimu ni kwamba maarifa na hekima hutoka kwaMungu kwa njia ya Roho yule yule.
neno la hekima
" maneno ya busara"
neno la maarifa
" Maneno yanayoonesha ujuzi"