24 lines
510 B
Markdown
24 lines
510 B
Markdown
# wakasambaza taarifa ... waksema
|
|
|
|
Kiwakilishi cha "wa" kinamaanisha wale wanaume walioipelelza nchi isipokuwa Kalebu na Joshua.
|
|
|
|
# Ile nchi waliyoipeleleza
|
|
|
|
Neno "wa" linamaanishawanaume wote walioipeleleza nchi akiwemo Joshua na Kalebu
|
|
|
|
# nchi inayowala watu wake
|
|
|
|
"ni nchi ya hatari sana" au ni nchi ambayo hao watu watatuua"
|
|
|
|
# Anaki
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanaume
|
|
|
|
# tulionekana ... machoni pao
|
|
|
|
"katika maoni yetu"
|
|
|
|
# tulionekana kama mapanzi machoni mwao
|
|
|
|
"tulikuwa wadogo kama mapanzi ukitulinganisha nao"
|