431 B
431 B
Kumleta Huramu kutoka Tiro
Huramu aliupokea wito wa Sulemani wa kuja Yerusalemu
mwana wa mjane ... baba yake alikuwa mtu wa Tiro
Mjane ni mwanamke ambaye mume wake alishafariki, na tunajiridhisha kuwa baba yake kweli alishakufa.
Huramau alikuwa mwingi wa hekima na ufahamu na stadi
Neno "hekima naufahamu" yanamaanisha kitu kilekile, yametumika kuonyesha msisitizo. "Mungu alimjaza Huramu kwa hekima, ufahamu na stadi"