sw_tn/rom/08/01.md

332 B

Sentensi unganishi:

Paulo anatoa majibu kwa mapambano aliyonayo dhidi ya dhambi na wema.

kwahiyo

"kwa sababu hii" au "kwasababu ambacho nimekwisha kuwaambieni ninyi ni kweli"

kanuni...kanuni

Neno "kanuni" hapa linaelezea jinsi mambo yanavyofanya kazi kwa asili. Hii haina uhusiano wowote na taratibu zilizowekwa na watu.