20 lines
406 B
Markdown
20 lines
406 B
Markdown
# Wakaenda nje usiku toka mjini kwa njia ya bustani ya mfalme
|
|
|
|
"waliondoka mjini usiku wakaenda kupitia njia ya bustani ya mfalme"
|
|
|
|
# Nchi tambarare ya Yeriko
|
|
|
|
Hii ni nchi iliyo tambarare iliyoko kusini mwa bonde.
|
|
|
|
# Ribla katika nchi ya Hamathi
|
|
|
|
Ribla ulikuwa mji katika himaya ya Hamathi.
|
|
|
|
# wakawafuata na kuwapata
|
|
|
|
"wakawafuata na kuwakamata"
|
|
|
|
# Wakatoa hukumu juu yake
|
|
|
|
"wakaamua namna ya kumuhukumu"
|