430 B
430 B
nitaujenga au kuupanda
Hizi vitenzi viwili kimsingi inamaanisha kitu kimoja na kusisitiza baraka za Mungu.
kuupanda
Kifungu hiki kinalinganisha baraka za Mungu kwa kuuweka kwa makini mmea katika bustani
mabaya machoni pangu
Macho ya Bwana hutaja kwa Yahweh mwenyewe. AT "mambo ambayo nadhani ni mabaya" au "mabaya kulingana na mimi"
kutosikiliza sauti yangu
"wasioti amri zangu" au "wasiozingatia kile nilichosema"