16 lines
430 B
Markdown
16 lines
430 B
Markdown
|
# nitaujenga au kuupanda
|
||
|
|
||
|
Hizi vitenzi viwili kimsingi inamaanisha kitu kimoja na kusisitiza baraka za Mungu.
|
||
|
|
||
|
# kuupanda
|
||
|
|
||
|
Kifungu hiki kinalinganisha baraka za Mungu kwa kuuweka kwa makini mmea katika bustani
|
||
|
|
||
|
# mabaya machoni pangu
|
||
|
|
||
|
Macho ya Bwana hutaja kwa Yahweh mwenyewe. AT "mambo ambayo nadhani ni mabaya" au "mabaya kulingana na mimi"
|
||
|
|
||
|
# kutosikiliza sauti yangu
|
||
|
|
||
|
"wasioti amri zangu" au "wasiozingatia kile nilichosema"
|