28 lines
572 B
Markdown
28 lines
572 B
Markdown
# wote wako sawa, ni kama wanayama na wapumbavu
|
|
|
|
"kila mmoja wao ni mpumbavu"
|
|
|
|
# wanafunzi wa sanamu ambazo si chochote isipokuwa miti tu
|
|
|
|
"wanajaribu kujifunza toka kwa sanamu ambayo ni kipande cha mti"
|
|
|
|
# sonara
|
|
|
|
"mtu mwenye ujuzi wa kazi za mikono"
|
|
|
|
# Tarshishi ... ufazi
|
|
|
|
Ni maeneo ambayo dhahabu na fedha zinapatikana
|
|
|
|
# dhahabu kutoka Ufazi ilyotengenezwa na sonara,ni kazi ya ustadi
|
|
|
|
"dhahabu kutoka Ufazi amabyo sonara mwenye ujuzi ameitengeneza"
|
|
|
|
# mavazi yao ni rangi y samawi na urujuani
|
|
|
|
"watu waliivalisha sanamu kwa mavazi mazuri
|
|
|
|
# matetemeko
|
|
|
|
"mtikisiko"
|