12 lines
394 B
Markdown
12 lines
394 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa jinsi watu wake wana paswa kutenda kwa watu wa njee.
|
|
|
|
# kwa kuwa wanajifanyia ukahaba kwa miungu yao
|
|
|
|
Mungu anaongelea watu wengine kuabudu miungu mingine kana kwamba ni makahaba wanaenda kwa wanaume wengine.
|
|
|
|
# na wewe utakula baadhi ya dhabihu zake
|
|
|
|
Madhara ya kula chakula kilicho tolewa dhabihu kwa mungu mwingine yaweza andikwa wazi.
|