forked from WA-Catalog/sw_tn
456 B
456 B
Sentensi unganishi
Wakati Yesu na wanafunzi wake wanafika Genesareti wakiwa katika mtumbwi wao, watu wanamuona na kumletea watu awaponye. Hii inatokea kokote waendako.
Genesareti
Hili ni jina la mkoa kaskazi mwa magharibi mwa Bahari ya Galilaya.
mara wakamtambua
"watu pale walimtambua Yesu"
walikimbia...waliposikia
Neno "wa" urejea kwa watu waliomtambua Yesu, wala si kwa wanafunzi.
wagonjwa
Neno hili urejea kwa watu. "watu wagonjwa"