forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
456 B
Markdown
20 lines
456 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Wakati Yesu na wanafunzi wake wanafika Genesareti wakiwa katika mtumbwi wao, watu wanamuona na kumletea watu awaponye. Hii inatokea kokote waendako.
|
||
|
|
||
|
# Genesareti
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mkoa kaskazi mwa magharibi mwa Bahari ya Galilaya.
|
||
|
|
||
|
# mara wakamtambua
|
||
|
|
||
|
"watu pale walimtambua Yesu"
|
||
|
|
||
|
# walikimbia...waliposikia
|
||
|
|
||
|
Neno "wa" urejea kwa watu waliomtambua Yesu, wala si kwa wanafunzi.
|
||
|
|
||
|
# wagonjwa
|
||
|
|
||
|
Neno hili urejea kwa watu. "watu wagonjwa"
|