forked from WA-Catalog/sw_tn
333 B
333 B
Neno la Bwana lililofika
"Neno ambalo Bwana Mungu aslilisema"
Beeri.
Hili ni jina la mwanaume.
Uzia ... Yothamu ... Ahazi ... Hezekia ... Yeroboamu ... Yoashi
Matukio yaliyopo katika kitabu hiki yalitokea katika kipindi cha wafalme hawa.
Ukahaba mkubwa
"ukahaba" inawakilisha watu wanavyokuwa sio waaminifu kwa Mungu.