forked from WA-Catalog/sw_tn
637 B
637 B
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja.
Habari ya jumla
Haya maneno yalitokea mapema katika sura.
Utalaaniwa
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Yahwe atawalaani"
matunda ya mwili wako, matunda ya ardhi yako
Hii ni nahauu kwa ajili "watoto wako, mazao yako"
ongezeko la ng'ombe wako, na kundi la kondoo wako
Kujirudiarudia mara mbili mbili kuko kwa njia mbili kusema kwamba Yahwe atawafanya wanyama wa Waisraeli wengi na imara.
wakati unakuja ndani...wakati unaenda nje
Hii "merism" urejea kwa shughuli zote za kimaisha popote waendako.